“12 Basi, kama wateule wa Mungu, watakatifu na wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu; 13 mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na ugomvi na mwenzake; kama Kristo alivyowasamehe ninyi, nanyi fanyeni vivyo hivyo. 14 Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.” (Wakolosai 3:12-14, KJV)