Andiko la Msingi: Mathayo 9:9-17
Mstari wa Kukariri: Mafarisayo walipoona hayo, wakawaambia wanafunzi wake, “Mbona mwalimu wenu anakula na watoza ushuru na wenye dhambi?” Yesu aliposikia hayo, akawaambia, “Wenye afya hawahitaji daktari, bali wagonjwa. Lakini nendeni mkajifunze maana yake maneno haya: ‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.” Mathayo 9:11-13
Utangulizi:
Agizo Kuu (Mathayo 28:19-20) linatuita tuwafikie wengine habari njema za Yesu Kristo. Ni nani walio